Filomeno wa Ankara
Filomeno wa Ankara (alifariki Ankara, Galatia, katika Uturuki ya leo, 270/275) alikuwa Mkristo aliyekwenda Ankara kikazi akapata kufia dini yake huko katika dhuluma ya kaisari Aurelian kwa kutupwa motoni halafu kupigiliwa misumari miguuni, mikononi na kichwani [1]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi, na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 29 Novemba[2].
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz