Fred Erentz
Frederick Charles Erentz (Machi 1870 - 6 Aprili 1938) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu, ambaye alicheza kwenye timu ya Dundee Our Boys FC na Newton Heath miaka ya 1880, 1890 na mwanzoni mwa miaka ya 1900.
Maisha ya Awali
Alizaliwa huko Broughty Ferry nchini Uskoti, baba yake alikua Mdenmark. Erentz alianza maisha yake ya mpira wa miguu na timu ya Dundee Our Boys F.C. kama beki wa nyuma.[1] Erentz alisajiliwa kwenye timu ya Newton Heath mnamo Juni mwaka 1892 na kuanza kujiandaa na msimu wao wa kwanza katika Ligi ya Soka.[1]Alicheza mechi yake ya kwanza na Newton Heath tarehe 3 Septemba mwaka 1892 ambayo walicheza na timu ya Blackburn Rovers F.C. .[2].
Viungo vya nje
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino