Gaugeriki wa Cambrai
Gaugeriki wa Cambrai (pia: Gery, Gorik, Gau; Carignan, leo nchini Ufaransa, 550 hivi - Cambrai, Ufaransa, 11 Agosti 619) alikuwa askofu wa mji huo kwa miaka 39 hivi[1][2].
Maarufu kwa moyo wa ibada na upendo kwa fukara, kwanza alipewa na Magneriki wa Trier ushemasi, halafu akachaguliwa kuwa askofu.
Alianzisha monasteri na kukomboa watumwa pamoja na kuinjilisha hata vijijini[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz