Goar

Goar (Aquitaine, leo nchini Ufaransa, 585 hivi - Oberwesel, leo nchini Ujerumani, 6 Julai 649[1]) alikuwa padri na mkaapweke ambaye, kwa msaada wa askofu wa Trier, alijenga hoteli na hospitali kwa ajili ya kuwahudumia kiroho na kimwili wapitanjia[2].

Mt. Goar katika Nuremberg Chronicle, 1493 hivi.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 6 Julai[3].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.