Grammy Awards
Grammy Awards au Tuzo za Grammy (awali iliitwa Gramophone Awards)—au Grammys—hutolewa kila mwaka na National Academy of Recording Arts and Sciences ya nchini Marekani kwa ajili ya kazi zilizopata mafanikio makubwa katika soko la muziki. Sherehe hizi za ugawaji wa tuzo hushirikisha wasanii mashuhuri na wale machipukizi, na baadhi ya tuzo zao huwa maarufu na huonyeshwa katika matelevisheni mengi nchi nzima.
Grammy Awards | |
Hutolewa kwa ajili ya | Kufanya vizuri katika soko la muziki |
Hutolewa na | NationalARAAS |
Nchi | Marekani |
Imeanza kutolewa mnamo | 1958 |
Tovuti rasmi |
---|
Makundi
Makundi makuu ya au jamii kuu za aina ya muziki ni nne.
Viungo vya Nje
- Grammy.com – official site
- Grammy Awards Archived 7 Machi 2010 at the Wayback Machine. at AOL Music
- Lists
- Grammy Awards winners Archived 16 Juni 2009 at the Wayback Machine. at Grammy.com (searchable database)
- Grammy Awards nominees Archived 2 Juni 2009 at the Wayback Machine. at MetroLyrics (lists since 1958)
- Grammy Awards Archived 12 Februari 2009 at the Wayback Machine. at IMDb (wins and noms in film/TV-related awards)
Kigezo:Soko la muziki
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz