Guntram
Guntram (pia: Gontran, Gontram, Guntram, Gunthram, Gunthchramn, Guntramnus; Soissons, Aisne, leo nchini Ufaransa, 532 hivi - Chalon-sur-Saône, leo nchini Ufaransa, 28 Machi 592) alikuwa mfalme wa Wafaranki huko Orleans na Burgundy tangu mwaka 561[1][2].
Alikuwa na tabia mbaya na kutenda dhambi nyingi, lakini imani ilimuongoza kuheshimu Kanisa na viongozi wake, kujenga monasteri na kuhamasisha uinjilishaji, kupatanisha ndugu zake[3], kusaidia maskini na kuwaombea kwa kufunga mwenyewe[4].
Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Henry H. Howorth. "The Ethnology of Germany. Part 3: The Migration of the Saxons." The Journal of the Anthropological Institute of Great Britain and Ireland, Vol. 7. 1878. pp. 293–320.
- Dahmus, Joseph Henry. Seven Medieval Queens. 1972.
- Gregory of Tours. The History of the Franks, Volume II: Text. Trans. by Ormonde Maddock Dalton. Clarendon Press: 1967.
- Decem Libri Historiarum: Books 1-10. Archived 14 Agosti 2014 at the Wayback Machine. Translated by Ernest Brehaut. Available at Medieval Sourcebook.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz