Irenei wa Srijem
Irenei wa Srijem (alifariki Sirmium, leo Srijem nchini Korasya[1], 6 Aprili 304) alikuwa askofu kijana aliyepigwa mijeledi, akateswa gerezani siku nyingi na hatimaye akakatwa kichwa kwa sababu ya imani yake katika dhuluma ya kaisari Maximian.
Hakujali mateso hayo yaliyotangulia wala mabembelezo ya wazazi, mke na watoto wake[2].
Ndiyo maana anaheshimiwa tangu zamani na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Walsh, Michael, ed. Butler's Lives of the Saints.
Viungo vya nje
- https://web.archive.org/web/20070205223359/http://www.catholic-forum.com/saints/sainti66.htm
- See pages 78ff in "Victories of the Martyrs" by St. Alphonsus de Liguori
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz