Jangwa la Gobi

Jangwa la Gobi (kwa Kiingereza: Gobi Desert; kwa lugha ya Mandarin linaitwa Gobi, 戈壁, yaani brushland) ni jangwa kubwa la Asia[1] likienea kwa kilomita mraba 1,295,000[2].

Ramani ya jangwa la Gobi.

Linaenea kaskazini mwa China na kusini mwa Mongolia, kusini kwa milima ya Altai.

Sababu yake ni kwamba nyanda za juu za Tibet huzuia mvua kutoka Bahari ya Hindi zisifike hadi Gobi.

Katika historia ni maarufu kama sehemu ya Dola la Mongolia na mahali pa miji muhimu ya Silk Road.

Tanbihi

Marejeo

  • Owen Lattimore. (1973) "Return to China's Northern Frontier". The Geographical Journal, Vol. 139, No. 2 (June 1973), pp. 233–242.

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jangwa la Gobi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

42°35′N 103°26′E / 42.59°N 103.43°E / 42.59; 103.43