José Andrés Tamayo Cortez
Mwanamazingira wa Hondurazi
José Andrés Tamayo Cortez (alizaliwa San Pedro, Honduras, 1958) ni kasisi wa Kikatoliki na mwanamazingira wa Honduras, kiongozi wa Vuguvugu la Mazingira la Olancho na "uso wa umma wa harakati za mazingira nchini humo". [1] 2005 alitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman . Baada ya kufukuzwa kutoka Honduras mwaka 2009 aliishi uhamishoni Nicaragua.
Marejeo
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu José Andrés Tamayo Cortez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz