1958
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1954 |1955 |1956 |1957 |1958| 1959| 1960| 1961| 1962| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1958 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 26 Januari - Ellen DeGeneres, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Januari - Elluz Peraza, mwigizaji wa filamu kutoka Venezuela
- 16 Februari - Ice-T, mwanamuziki kutoka Marekani
- 7 Juni - Prince, mwanamuziki kutoka Marekani
- 17 Juni - Mohamed A. Abdulaziz, mwanasiasa wa Tanzania
- 2 Julai - Zbigniew Strzałkowski, mfiadini kutoka Poland aliyeuawa nchini Peru
- 20 Julai - Billy Mays, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 3 Agosti - Peter Eriksson, mwanasiasa kutoka Uswidi
- 16 Agosti - Angela Bassett, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 18 Agosti - Madeleine Stowe, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 29 Agosti - Michael Jackson, mwanamuziki
- 6 Septemba - Jeff Foxworthy, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 31 Desemba - Defao, mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Waliofariki
- 1 Februari - Clinton Davisson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1937
- 29 Mei - Juan Ramon Jimenez, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1956
- 20 Juni - Kurt Alder, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1950
- 22 Agosti - Roger Martin du Gard, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1937
- 27 Agosti - Ernest Orlando Lawrence, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1939
- 9 Oktoba - Papa Pius XII (1939-1958)
- 29 Oktoba - Zoë Akins, mwandishi kutoka Marekani
- 15 Desemba - Wolfgang Pauli, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1945
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz