Joy Jegede
Mchezaji wa soka
Joy Jegede (alizaliwa 16 Desemba 1991) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Nigeria ambaye anacheza kama beki wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria. Alishiriki na timu yake ya taifa katika Mashindano ya Wanawake ya Afrika mwaka 2012. Joy ni nahodha wa timu ya wanawake ya Delta Queens yenye makao yake nchini Nigeria hapo awali alicheza katika timu ya bobruichanka huko nchini Belarus.[1][2][3]
Joy Jegede | |
Amezaliwa | 16 Desemba 1991 Nigeria |
---|---|
Kazi yake | Mchezaji |
Marejeo
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Joy Jegede kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino