Julius na Aroni

Julius na Aroni (walifariki Caerleon, leo nchini Wales, 304 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa katika dhuluma wa kaisari Diokletian[1].

Kabla yao aliuawa Albano, halafu wengine wengi kwa ukatili mkubwa.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 22 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.