Kaprasi wa Agen

Kaprasi wa Agen (alifariki Agen, Akwitania, leo nchini Ufaransa, 303 hivi) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake kutokana na dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1][2][3].

Mt. Kaprasi katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Oktoba[4].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.