Karpo, Papilo na wenzao
Karpo, Papilo na wenzao (walifariki Pergamo, katika Uturuki ya leo, 170 hivi au 250 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa kwa ajili ya imani yao katika dhuluma ya kaisari Marko Aurelio au Decius[1].
Karpo alikuwa askofu wa Gurdos, Lidia, Papilo alikuwa shemasi wa Tuatira na Agatonika dada yake. Wafiadini wenzao wengi hawajulikani kwa jina[2].
Masimulizi ya kifodini chao yametufikia.
Tangu kale wote wanaheshimiwa kama watakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
- Under Verus, Polycarp with Others suffered Martyrdom at Smyrna English translation from Nicene and Post-Nicene Fathers
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz