Kikanisa cha Sisto IV
Kikanisa cha Sisto IV (kwa Kiitalia Cappella Sistina) ni kikanisa kikubwa nchini Vatikani, ambayo ndiko anakoishi Papa wa Kanisa Katoliki lote duniani.
Kikanisa hicho kilijengwa miaka 1473-1481 na Giovanni dei Dolci kwa ajili ya Papa Sisto IV.
Kikanisa hicho kinatumika mara chache kwa ibada muhimu sana, na hasa kwa uchaguzi wa Papa mpya unaofanywa na makardinali wote wasiozidi umri wa miaka 80.
Kwa kawaida zaidi ni mahali pa utalii kutokana na sanaa zilizochorwa kutani na darini hasa na Michelangelo, mchoraji wa Renaissance miaka 1505-1541.
Tazama pia
Tanbihi
- Gabriel Bartz and Eberhard Konig, Michelangelo, Konemann, ISBN 3-8290-0253-X
- Massimo Giacometti, editor, The Sistine Chapel, Harmony Books, ISBN 0-517-56274-X
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz