Kikarang
Kikarang ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Kamerun inayozungumzwa na Wakarang. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kikarang imehesabiwa kuwa watu 17,000. Pia kuna wasemaji 1000 nchini Chad. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikarang iko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.
Viungo vya nje
- lugha ya Kikarang kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kikarang Archived 22 Septemba 2015 at the Wayback Machine.
- lugha ya Kikarang katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/kzr
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kikarang kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino