Kisiwa cha Kaskazini (New Zealand)
Kisiwa cha Kaskazini (kwa Kiingereza: North Island; kwa Kimaori: Te Ika a Máui) ni kimoja kati ya visiwa vikuu viwili vya New Zealand. Mlangobahari wa Cook unakitenganisha na Kisiwa cha Kusini.
Kisiwa hicho kina eneo la km2 113m729 [1] na wakazi 3,287,600 (Juni 2009). Karibu asilimia 76 za watu wa New Zealand wanaishi katika Kisiwa cha Kaskazini.
Miji kumi na miwili iko katika Kisiwa cha Kaskazini, pamoja na mji mkubwa wa Auckland. Mji mkuu wa Wellington unapatikana kwenye sehemu ya kusini ya kisiwa.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz