Kisiwa cha Kusini (New Zealand)
Kisiwa cha Kusini ni kimoja cha visiwa viwili vikuu vya New Zealand ilhali ni kisiwa kikubwa zaidi. Mlangobahari wa Cook unakitenganisha na Kisiwa cha Kaskazini.
Eneo lake ni km2 151,215 na idadi ya wakazi ni 1,138,000 ambayo ni robo moja ya wananchi wa New Zealand.
Jina lake la Kimaori ni Te Wai Pounamu .
Mji mkubwa ni Christchurch.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz