Kituo cha Ufaransa cha utafiti wa kisayansi
Kituo cha Ufaransa cha utafiti wa kisayansi (kwa Kifaransa: CNRS au Centre national de la recherche scientifique) ni shirika la wanasayansi la dola la Ufaransa. Kituo hiki kiliumbwa na rais Albert Lebrun mwaka wa 1939.
Marejeo
- Rapport « Remarques et propositions sur les structures de la recherche publique en France » - Académie des sciences - Septemba 2012
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz