1939
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| ►
◄◄ |◄ |1935 |1936 |1937 |1938 |1939| 1940| 1941| 1942| 1943| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1939 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 2 Machi - Uchaguzi wa Papa Pius XII
- 1 Septemba - Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilianza.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 28 Februari - Daniel Tsui, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1998
- 29 Machi - Terence Hill, mwigizaji wa filamu kutoka Italia
- 4 Aprili - Hugh Masekela, mwanamuziki wa Jazz kutoka Afrika Kusini
- 13 Aprili - Seamus Heaney, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1995
- 22 Aprili - Jason Miller, mwandishi na mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 25 Aprili - Ted Kooser, mshairi kutoka Marekani
- 7 Mei - Sidney Altman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1989
- 22 Juni - Ada Yonath, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2009
- 11 Julai - Beth Mugo, mwanasiasa wa kike wa Kenya
- 26 Julai - Wopko Jensma, mshairi wa Afrika Kusini
- 1 Agosti - Robert James Waller, mwandishi wa Marekani
- 9 Agosti - Romano Prodi, mwanasiasa kutoka Italia
- 21 Agosti - Festus Mogae, Rais wa Botswana
- 5 Septemba - George Lazenby, mwigizaji filamu kutoka Australia
- 6 Septemba - Susumu Tonegawa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1987
- 13 Septemba - Richard Kiel, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 17 Septemba - Carl Dennis, mshairi kutoka Marekani
- 30 Septemba - Jean-Marie Lehn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1987
- 7 Oktoba - Harold Kroto, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1996
- 30 Oktoba - Leland Hartwell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2001
- 18 Novemba - John O'Keefe, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2014
- 18 Desemba - Harold Varmus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1989
bila tarehe
- Gabriel Mmole, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- Stephen Dunn, mshairi kutoka Marekani
Waliofariki
- 28 Januari - William Butler Yeats, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1923
- 10 Februari - Papa Pius XI
- 23 Agosti - Sidney Howard, mwandishi kutoka Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz