Kompyuta bapa
Kompyuta bapa, ni kifaa kinachoweza kubebeka, kwa kawaida ina mfumo wa uendeshaji wa simu na LCD ya ushughulikiaji kwa kugusa kioo chake, ina betri inayoweza kuimarishwa nguvu yake kila inapokuwa imekwisha.
Kompyuta bapa, hufanya kile ambacho kompyuta za kawaida zinafanya, lakini hazina uwezo wa I/O ambao kompyuta za kawaida zinazo.
Kompyuta bapa za kisasa zinafanana na simu za kisasa, tofauti tu ni kuwa kompyuta bapa ni kubwa zaidi kuliko simu za mkononi, na skrini ya inchi 7 na sm 18 kama ikipimwa kwa mshazari.
Tazama pia
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz