Kwirino wa Roma (30 Aprili)
Kwirino wa Roma (alifariki Roma, 116) ni mwanasheria wa Roma ya Kale aliyefia dini ya Kikristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo kama mtakatifu mfiadini.
Binti yake pia, Balbina wa Roma anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 31 Machi.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Walter Bader: St Quirinus zu Neuss. 1955
- Max Tauch: Quirinus von Neuss. 2000, ISBN|3-87909-692-9
- Helmut Wessels: Neuss und St. Quirin zu Fuß. 2004, ISBN|3-7616-1801-8, Engl. ISBN|3-7616-1956-1)
- Erich Wimmer: Quirinus von Neuss. in Lexikon für Theologie und Kirche (LThK) Bd. 8
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- San Quirino (Kiitalia)
- Quirinus von Rome (von Neuss) (Kijerumani)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz