Launomaro

Launomaro (pia: Lomer, Laumer, Laudomarus, Launomar; alifariki 593) alikuwa mmonaki anayetajwa kama abati wa monasteri ya Corbion, aliyoianzisha upwekeni huko Perche, leo nchini Ufaransa.[1][2][3].

Mt. Lomer.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Januari[4].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.