Laurenti wa Canterbury
Laurenti wa Canterbury (alifariki 2 Februari 619) kuanzia mwaka 604 alikuwa askofu mkuu wa pili wa Canterbury (Uingereza).
Alikuwa ametumwa huko na Papa Gregori I mwaka 595 kama mmisionari kwa Waangli na Wasaksoni pamoja na Augustino wa Canterbury[1]. Aliendeleza na kustawisha kazi ya huyo mtangulizi wake, hasa kwa kumuongoa mfalme Edbati.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2] au 3 Februari.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
- Sharpe, R. (1995). "The Setting to St Augustine's Translation, 1091". In Eales, R.. Canterbury and the Norman Conquest: Churches, Saints, and Scholars, 1066-1109. London: Hambledon Press. pp. 1–13.
.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz