Leonsi wa Bordeaux
Leonsi wa Bordeaux (alifariki Bordeaux, Ufaransa, kabla ya 574 akiwa na miaka 54) alikuwa askofu wa kumi na tatu mji huo[1].
Habari chache za maisha yake zimo katika Historia Francorum ya Gregori wa Tours na katika Carmina ya Venansi Fortunati.[2]
Aliwahi kwenda vitani Hispania na kuoa.
Baada ya kupata uaskofu alishiriki mitaguso kadhaa akauitisha mmoja huko Saintes.[3]
Pia anakumbukwa kwa misaada aliyowapa maskini na kwa ujenzi wa makanisa mbalimbali[4].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kifaransa) Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, Paris 1910, p. 61
- (Kifaransa) Honoré Fisquet, La France pontificale, histoire chronologique et biographique des archevêques et évêques de tous les diocèses de France. Métropole de Bordeaux. Bordeaux, Paris, pp. 39-43
- Paul Viard, Leonzio II, il Giovane, vescovo di Bordeaux, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. VII, coll. 1322-1323
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz