Leufridi
Leufridi (pia: Leutfridus, Leutfrido, Leufredo, Leutfrid, Leufroi, au Leufroy; alifariki Evreux, 738[1]) alikuwa mmonaki Mbenedikto wa Ufaransa, ndugu wa mtakatifu Agofredus na mwanafunzi wa mtakatifu Sidoni wa Saint-Saëns.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Maisha
Leufridi alisoma katika abasia ya Condat na huko Chartres, akawa kwa muda fulani mwalimu huko Evreux.
Baada ya kuishi kama mkaapweke sehemu mbili tofauti, alianzisha monasteri ya La Croix-Saint-Qu'en mwaka 690 hivi, akawa abati wake wa kwanza na kuliongoza kwa miaka 48 hivi.[1][3]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- St Leutfridus, Saint of Just and Holy Wrath, excerpt from a lecture given by Prof Plinio Corrêa de Oliveira on June 20, 1967
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz