Lodwar
Lodwar ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki, kaunti ya Turkana.
Lodwar | |
Mahali pa mji wa Lodwar katika Kenya | |
Majiranukta: 03°07′0″N 35°36′0″E / 3.11667°N 35.60000°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Turkana |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 48,316 |
Wakati wa sensa ya mwaka 2009, mji ulikuwa na wakazi 48,316[1].
Lodwar ina mito miwili na kiwanja cha ndege ndogo. Mto mkubwa ni mto Turkwel.
Watalii wanasafiri Lodwar kuona pahali ya masalia ya zamadamu (kama kijana wa Turkana, aliyefumwa na Kamoya Kimeu, Meave Leakey na Richard Leakey) na kupumzika karibu na ziwa la Turkana.
Tanbihi
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz