Lonjino

Lonjino (kwa Kilatini Longinus[1]) ni jina linalotumika[2] kwa askari aliyemchoma kwa mkuki Yesu akiwa maiti msalabani kadiri ya Injili ya Yohane 19:34-37[3].

Sanamu yake katika Basilika la Mt. Petro, Vatikano, kazi ya Bernini.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya ·Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Ingawa Biblia haina habari zaidi juu yake, inasadikika kwamba baadaye akawa Mkristo[4] na pengine hata kwamba akamfia.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 16 Oktoba (Kanisa Katoliki[5], Waorthodoksi na Anglikana), lakini pia tarehe 22 Oktoba au 14 Novemba (Waorthodoksi wa Mashariki) na tarehe nyingine nyingi.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lonjino kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.