Ludolfo
Ludolfo, O.Prem. (alifariki Wismar, Holstein, Ujerumani, 1250) alikuwa askofu wa Ratzeburg kutoka shirika la Wapremontree, ambaye, kwa sababu ya kutetea uhuru wa Kanisa alitupwa katika gereza duni sana kwa amri wa mtemi Alberto I wa Saxony; huko alidhoofika kiafya, kiasi kwamba alipotolewa kifungoni akafariki dunia mara moja[1].
Ndiyo sababu tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz