Luigi Galvani
Luigi Galvani (matamshi ya Kiitalia: luˈiːdʒi ɡalˈvaːni; kwa Kilatini: Aloysius Galvanus; 9 Septemba 1737 – 4 Desemba 1798) alikuwa mwanafizikia, tabibu, mwanabiolojia na mwanafalsafa wa Italia. Ni maarufu kwa kuvumbua umeme mwilini mwa wanyama na anatambulikana kama mwanzilishi wa umemesumaku wa kibiolojia.
Mwaka 1780 alivumbua kwamba misuli ya miguu ya vyura wafu ilishtuka ilipochokozwa kwa umeme kidogo.[1]
Maandishi yake
- De viribus electricitatis, 1791. The International Centre for the History of Universities and Science (CIS), Università di Bologna
Tanbihi
Vyanzo
Viungo vya nje
- The Wiktionary definition of galvanize
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Luigi Galvani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz