Lupisino wa Condat
Lupisino wa Condat (alifariki 486 hivi) alikuwa Mkristo ambaye, baada ya kufiwa mke wake, alikwenda kuishi na kaka yake mkaapweke Romano wa Condat[1].
Pamoja naye alianzisha monasteri mbili huko Condat na Lauconne katika eneo la milima ya Jura, leo nchini Ufaransa, akawa abati wake[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- The Life of the Jura Fathers: The Life and Rule of the Holy Fathers Romanus, Lupicinus, and Eugendus, Abbots of the Monasteries in the Jura Mountains, Trans. by Tim Vivian, Kim Vivian, and Jeffrey Burton Russell, (Spencer, Mass.: Cistercian Publications, 1999).
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz