Lupus wa Sens
Lupus wa Sens (au Loup wa Sens) (573 hivi - 623 hivi)[1] alikuwa askofu wa 19 wa Sens, Ufaransa.
Alikuwa mtoto wa Betton, kabaila wa Tonnerre, kutoka ukoo uliotawala Burgundy.[1] Kwa ushujaa wake alipelekwa uhamishoni[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Septemba[3][4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- "Saint loup de Naud" the Romanesque church.
- "Les Rencontres de Provins" A website devoted to all the Saints Loup.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz