Mael Ruba
Mael Ruba (pia: Máelrubai, Maol Rubha, MoRubha, MaRuibhe, Malruibhe, Rufus; Bangor, Ireland, 642 hivi - Teampull, Sutherland, Uskoti, 722) alikuwa mmonaki huko Bangor, akawa mwanzilishi wa monasteri wa wamisionari katika nchi ya Uskoti (671) aliyoiinjilisha kwa miaka 50[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Reeves, William, 'Saint Maelrubha: His History and Churches', in Proceedings of the Society of Antiquaries of Scotland, III (1857–60), pp. 258–96
- Thomson, Derick S. The Companion to Gaelic Scotland, (Blackwell Reference 1987), ISBN 0-631-15578-3
- The Chronicles of Keith
Viungo vya nje
- St Maol Rubha
- "St. Maelrubha". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz