Mansueto wa Toul

Mansueto wa Toul (pia: Mansuy; alifariki 375) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kwa miaka 10 [1][2] [3]. Labda alitokea visiwa vya Britania na aliinjilisha barani kwa miaka 40[4].

Sanamu yake katika kanisa la Nancy.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Septemba[6].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.