Mapaliko na wenzake
Mapaliko na wenzake Baso, Fortunio, Paulo, Fortunata, Viktorino, Viktori, Eremio, Kredula, Ereda, Donato, Firmo, Venusto, Frukto, Julia, Marziale na Aristone (walifariki 250 hivi) walikuwa Wakristo wa Afrika Kaskazini (Tunisia ya leo) katika karne ya 3.
Wakati wa dhuluma ya kaisari Decius, wote walikubali kuteswa na hatimaye kuuawa kwa ajili ya imani yao, wengi wao kwa kuachwa bila chakula gerezani hadi kufa.
Askofu wa Karthago Sipriani mfiadini aliandika juu yao.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz