Margareta Maria Alacoque
Margareta Maria Alacoque (L'Hautecour, Burgundy, Ufaransa, 22 Julai 1647 – Paray-le-Monial, 17 Oktoba 1690) alikuwa mwanamke mtawa aliyepata umaarufu kama mwanasala mwenye njozi.
Kufuatana nazo alieneza sana ibada kwa Moyo mtakatifu wa Yesu.
Alitangazwa na Papa Pius IX kuwa mwenye heri tarehe 18 Septemba 1864, halafu Papa Benedikto XV alimtangaza mtakatifu tarehe 13 Mei 1920.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Gaddis, William. The Recognitions. Penguin Classics, New York, New York. 1993, pp. 66–67.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- katika Encyclopedia Britannica
- Sanctuary of Paray-le-Monial | Saint Margaret Mary Alacoque
- The Life of Saint Margaret Mary Alacoque in her own words
- La Vie de Saint Marguerite-Marie Alacoque Archived 13 Februari 2009 at the Wayback Machine. - Biography in French (1923)
- The Secret of Saint Margaret Mary Alacoque
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz