Marina wa Antiokia
(Elekezwa kutoka Margareta wa Antiokia)
Marina au Margareta wa Antiokia (289-304) alikuwa bikira wa Antiokia ya Pisidia (leo nchini Uturuki) aliyefia dini ya Ukristo[1][2].
Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[3], Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki[4] na Waanglikana[5] kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Julai[6] au siku nyingine kadiri ya madhehebu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Acta Sanctorum, July, v. 24–45
- Bibliotheca hagiographica. La/ma (Brussels, 1899), n. 5303–53r3
- Frances Arnold-Forster, Studies in Church Dedications (London, 1899), i. 131–133 and iii. 19.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Saint Margaret and the Dragon links Archived 15 Juni 2005 at the Wayback Machine.
- Middle English life of St. Margaret of Antioch, edited with notes by Sherry L. Reames
- Book of the Passion of Saint Margaret the Virgin, with the Life of Saint Agnes, and Prayers to Jesus Christ and to the Virgin Mary (Kiingereza) Kilatini (Kiitalia)
- Catholic Online: Saint Margareth of Antioch
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz