Maria Dominika Mazzarello
Maria Dominika Mazzarello (Mornese, 9 Mei 1837 – Nizza Monferrato, 14 Mei 1881) alikuwa mtawa wa Piemonte, Italia Kaskazini, mwanzilishi wa Mabinti wa Bikira Maria Msaada wa Wakristo pamoja na Yohane Bosco[1].
Bikira huyo, ambaye aling’aa kwa unyenyekevu, busara na upendo, alijitolea maisha yake pamoja na shirika lake hilo kwa malezi ya Kikristo ya wasichana fukara [2].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI tarehe 20 Novemba 1938, halafu mtakatifu na Papa Pius XII tarehe 24 Juni 1951.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz