Marko mkaapweke
Marko mkaapweke ni kati ya Wakristo walioishi vizuri imani yao kwa kutawa katika karne ya 5[1].
Kwa kuwa hayajulikani mengine mengi kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.
Pia aliandika vitabu vingi kuhusu maisha ya kiroho ambamo anaonekana kumfuata Yohane Krisostomo.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Andrea Gallandi, Bibliotheca veterum Patrum, VIII (Venice, 1788), 1–104, reprinted with Gallandi's prolegomena in Patrologia Graeca, LXV, 893–1140;
- J. A. Fabricius-G. C. Harles, Bibliotheca graeca, IX (Hamburg, 1804), 267–69;
- Bernard Jungmann-Josef Fessler, Institutiones Patrologiae, II, (Innsbruck, 1892), 143–46;
- Kunze, Marcus Eremita, ein neuer Zeuge fur das altkirchliche Taufbekenntnis (Leipzig, 1896).
- Georges-Matthieu de Durand (1999), Marc le Moine, Traités (two volumes)
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz