Marko wa Aretusa
Marko wa Aretusa (alifariki Aretusa, Syria, 364) alikuwa askofu wa mji huo tangu mwaka 341 au kabla ya hapo.
Wakati wa uenezi wa uzushi wa Ario hakuiumba hata kidogo katika imani sahihi.
Baadaye aliteswa sana katika dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi[1].
Gregori wa Nazianzo alimsifu kama "mtu wa pekee na mzee mtakatifu sana"[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[3] na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz