Marselo wa Chalon
Marselo wa Chalon (alifariki Chalon-sur-Saone, leo nchini Ufaransa, karne ya 3 hivi) ni mmojawapo kati ya Wakristo wafiadini wanaoheshimiwa kama watakatifu[1].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Septemba[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Marguerite Sermesse, « Saint-Marcel-lès-Chalon », revue Images de Saône-et-Loire, n. 6, Octobre 1970, pp. 12-13.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz