Marsiana wa Mauretania
Marsiana wa Mauretania alikuwa bikira Mkristo wa Russucur (leo Dellys katika Algeria) aliyefia dini yake kwa kutupwa kama chakula kwa wanyamapori katika kiwanja cha michezo cha Cherchell wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian na Maximian Herculeus mwaka 303[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Julai[3], lakini pia 9 Januari[4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saints of January 9: Marciana Archived 5 Novemba 2007 at the Wayback Machine.
- Catholic Online
- St. Marciana – January 7
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz