Meinradi
Meinradi (Ujerumani, 797 hivi - Einsiedeln, Uswisi, 861) alikuwa mmonaki padri wa utawa wa Wabenedikto ambaye alikwenda kuishi kama mkaapweke akifuata mifano ya Mababu wa jangwani[1].
Umaarufu wake ulipomvutia umati wa watu, alijitafutia mahali pa upweke mkubwa zaidi kati ya milima inayozunguka ziwa la Zurich. Hatimaye aliuawa na majambazi[2].
Alipofariki pakajengwa baadaye kidogo monasteri kubwa iliyotembelewa na watu wengi[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Januari[4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- media kuhusu Saint Meinrad pa Wikimedia Commons
- St. Meinrad (German language)
- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN|0-14-051312-4.
- The Ecole Glossary
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz