Modesti wa Trier
Modesti wa Trier (alifariki 489[1]) alikuwa askofu wa mji huo[2] [3] (leo nchini Ujerumani) wakati Wafaranki walipouteka.
Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.[4]
Sikukuu yake huadimishwa tarehe 24 Februari[5].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Modest at Patron Saints Index Archived 5 Mei 2006 at the Wayback Machine.
- 24 February saints at St. Patrick's Church Archived 21 Desemba 2016 at the Wayback Machine.
- San Modesto di Treviri, Vescovo
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz