Modesti wa Trier

Modesti wa Trier (alifariki 489[1]) alikuwa askofu wa mji huo[2] [3] (leo nchini Ujerumani) wakati Wafaranki walipouteka.

Mt. Modesti.

Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.[4]

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 24 Februari[5].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.