Modesti wa Yerusalemu
Modesti wa Yerusalemu (Sivas, Kapadokia, leo nchini Uturuki, karne ya 6 – 17 Desemba 630[1]) alikuwa askofu wa mji huo nchini Israeli.
Kabla ya hapo aliuzwa kama mtumwa kwenda Misri. Huko alimuongoa bwana wake ambaye alimuacha huru. Hapo alijiunga na umonaki kwenye mlima Sinai. Baada ya kufanywa abati wa monasteri huko Palestina.
Mwaka 614 Kosroe II wa Persia aliteketeza Yerusalemu akiua Wakristo 66,509. Modesti alichaguliwa kushika nafasi ya askofu Zakaria aliyetekwa, na huyo alipofariki Modesti akawa askofu. Alijitahidi kujenga upya monasteri na makanisa[2].
Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 17 Desemba[3].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Building projects of Modestus
- Orthodox Church in America - Modestus of Jerusalem
- "Modestus of Jerusalem". Orthodoxwiki.org. Iliwekwa mnamo 6 January 2019. Check date values in:
|accessdate=
(help) - "St Modestus, Patriarch of Jerusalem. Commemorated December 18 (Civil Date: December 31 )". Orthodox.net. Iliwekwa mnamo 6 January 2019. Check date values in:
|accessdate=
(help)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz