Mona Zak

Mwigizaji wa Misri

Mona Ali Mohamed Zaki (alizaliwa mnamo Novemba 18, mwaka 1976) Ni mwigizaji wa Misri. Ameolewa na mwigizaji Ahmed Helmy.

Mona Zaki

Zaki 2015
AmezaliwaMona Ali Mohamed Zaki
Novemba 18,1976
Bendera ya Misri Misri
Kazi yakeMwigizaji
Miaka ya kazi1991- sasa
NdoaAhmed Helmy ​(m. 2002)
Watoto3

Wasifu

Mona Zaki alizaliwa na wazazi wake Ali Mohamed Zaki na Tahani mnamo Novemba 18, 1976. Akiwa na umri wa miaka 13, Zaki aliishi Kuwait. Akiwa na umri wa miaka 16 na baada ya kuona tangazo la Mohamed Sobhi (mwigizaji) | Mohamed Sobhi kwa nyuso mpya, aliomba tu kwa matumaini ya kupata nafasi ya kukutana na mwigizaji maarufu wa Misri na mkurugenzi. Zaki alipewa jukumu lake la kwanza la kuigiza katika mchezo wake Bel Araby El Faseeh'.

Maisha binafsi

Mona aliolewa na muigizaji wa Misri Ahmed Helmy. Wamefanikiwa kupata watoto watatu: Lilly (2003), Selim (2014), and Younis (2016).

Kazi ya upendo

Mona Zaki anajiandaa kushiriki katika kampeni mpya ya hisani Jua aina yako ya Damu'.' [Al-Ahram]] gazeti linaripoti kuwa kampeni hiyo ilizinduliwa na Mona Zaki kama balozi wa Yanabee El-Hayah kwa kushirikiana na Yanabee El-Hayah kwa [uchangiaji damu]] na kwa kushirikiana na mkono wa afya ya umma,[Shirika la Afya Duniani].]..[1]

Marejeo

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mona Zak kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.