1976
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| ►
◄◄ |◄ |1972 |1973 |1974 |1975 |1976| 1977| 1978| 1979| 1980| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1976 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 29 Juni - Visiwa vya Shelisheli vinapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 1 Februari - Giacomo Tedesco, mchezaji mpira kutoka Italia
- 29 Februari - Ja Rule, mwanamuziki kutoka Marekani
- 4 Aprili - Saida Karoli, mwimbaji kutoka Tanzania
- 24 Aprili - Afande Sele, mwanamuziki wa Bongo Flava kutoka Tanzania
- 7 Mei - Carrie Henn, mwigizaji kutoka Marekani
- 29 Mei - Francis Kimanzi, mchezaji mpira kutoka Kenya
- 10 Juni - Mariana Seoane, mwigizaji na mwimbaji kutoka Mexiko
- 7 Julai - Hamish Linklater, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Julai - Diether Ocampo, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino
- 9 Agosti - Rhona Mitra, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 26 Septemba - Michael Ballack mchezaji mpira kutoka Ujerumani
- 27 Septemba - Francesco Totti mchezaji mpira kutoka Uitalia
- 15 Novemba - Lucy Chege, mchezaji wa voliboli kutoka Kenya
- 27 Novemba - Jean Grae, mwanamuziki wa Marekani
- 13 Desemba - Rama Yade, mwanasiasa wa Ufaransa kutoka Senegal
- 29 Desemba - Danny McBride, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
bila tarehe
- Mwajuma Abdul, mwigizaji filamu kutoka Tanzania
Waliofariki
- 1 Februari - George Whipple, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1934
- 1 Februari - Werner Heisenberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1932
- 17 Aprili - Henrik Dam, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1943
- 15 Mei – Samuel Eliot Morison, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1943
- 31 Mei - Jacques Monod, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 25 Agosti - Eyvind Johnson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1974
- 26 Septemba - Leopold Ruzicka, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1939
- 5 Oktoba - Lars Onsager, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1968
bila tarehe
- James Jolobe, mchungaji na mshairi wa Afrika Kusini aliyeandika hasa kwa Kixhosa
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz