Morandi wa Douai
Morandi wa Douai (pia: Maurand, Maurant, Mauront, Morand, Maurontus; 634 - 5 Mei 702) alikuwa mmonaki shemasi nchini Ufaransa ambaye alianzisha monasteri ya Kibenedikto ya Breuil, akawa abati wake wa kwanza [1][2][3][4].
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, sawa na wazazi wake, Adalbati na Rikitrude, na dada zake wote watatu, Klotsinda, Adalsinda na Eusebia wa Douai, mwenyewe akiwa mtoto wa nne na wa mwisho.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kifaransa) Claude Roussel, La Belle Hélène de Constantinople, Droz, Genève, 1998. ISBN 2-600-00266-9
- (Kifaransa) Claude Malbranke, Guide de Flandre et Artois mystérieux, page 91-92, Presse Pocket, Paris, 1966.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz