Msaada wa Wakristo
Msaada wa Wakristo (kwa Kilatini: Auxilium Christianorum) ni sifa mojawapo ya Bikira Maria katika Kanisa Katoliki.
Yohane Krisostomo alikuwa wa kwanza kutumia jina hilo mwaka 345.
Baadaye, Ukristo ulipoatharishwa na uenezi wa Waislamu, waumini walimkimbilia Maria kwa jina hilo ili kupata msaada wa sala zake. Hasa mwaka 1571, Waturuki walipokaribia kuteka Ulaya, Papa Pius V aliombea jeshi la Kikristo kwa kuagiza sala ya Rozari hadi ushindi ulipopatikana katika mapigano ya Lepanto.
Yohane Bosco ndiye aliyeeneza zaidi heshima hiyo.
Mtaguso wa pili wa Vatikano, katika hati juu ya Kanisa (61, 62), ulitaja jina hilo ukieleza umama wa Maria[1].
Katika sanaa
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz