Msitu mweusi
Msitu Mweusi ni eneo la milima katika jimbo la Baden-Württemberg la Ujerumani kusini magharibi. Milima yafunikwa na misitu minene hivyo jina la eneo "msitu mweusi".
Safu za Milima Mweusi zaelekea sambamba na bonde la Rhine kuanzia mpaka wa nchi tatu za Uswisi, Ufaransa na Ujerumani kwenda kaskazini kwa kilomita 160.
Mlima mkubwa ni Feldberg mwenye kimo cha mita 1,493m.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz